... π¨π¬ ||EXCLUSIVE INTERVIEW:
CHE MALONE - "NIKO HAPA KUCHEZA"
Mahojiano ya kwanza yaliyopakiwa katika ukrasa rasmi wa Simba SC Tanzania yamemwonyesha mchezaji mpya aliyetangazwa leo, Che Malone akisema, "Niko hapa kucheza. Asante kwa kunikubali na kunikaribisha. Naipenda klabu na nitajitahidi niwezavyo kuhakikisha tunapanda juu zaidi msimu huu ujao. Asante."
Kisha alimaliza Alkwa kumbusu beji ya nembo ya Simba SC kwenye jezi π΄⚪️ #NguvuMoja #simbasc
Post a Comment
Post a Comment