... 🚨 || BREAKING
YANGA YAPOKEA TSH. 405,000,000 KUTOKA KWA MDHAMINI, SPORTPESA
Rasmi Klabu ya Young Africans Sports Club imepokea Hundi ya TZS 405,000,000/= kutoka kwa mdhamini mkuu wa Klabu Sportpesa Tanzania kama sehemu ya fedha za mafanikio ya Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Kombe la Shirikisho la Azam na Mashindano ya CAF.
Post a Comment
Post a Comment