Tafta:

Yanga SC Yapokea Kitita Cha Hela Kutoka Sportpesa

📑 Yaliyomo Kwenye Makala:

 

... 🚨 ||  BREAKING 
YANGA YAPOKEA TSH. 405,000,000 KUTOKA KWA MDHAMINI, SPORTPESA

Rasmi Klabu ya  Young Africans Sports Club  imepokea Hundi ya TZS 405,000,000/= kutoka kwa mdhamini mkuu wa Klabu Sportpesa Tanzania kama sehemu ya fedha za mafanikio ya Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Kombe la Shirikisho la Azam na Mashindano ya CAF.