-->

Change Language

RASMI: SIMBA SC WAMTANGAZA MCHEZAJI MPYA

Post a Comment


RASMI: Rushine De Reuck ni Mnyama


Mlinzi wa kati, Rushine De Reuck amejiunga na kikosi cha Simba SC kutoka Mamelodi Sundowns kwa mkataba wa mwaka mmoja huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja zaidi.


Tue, Jul 29


De Reuck (29) raia wa Afrika Kusini ni mlinzi mwenye uzoefu mkubwa wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na hiyo ni moja ya vitu vilivyo washawishi Simba SC kuisaka saini yake.


Msimu uliopita De Reuck alikuwa anachezea timu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel na alikuwa moja ya wachezaji muhimu ndani ya kikosi hicho.


Huu ni usajili wa Simba wa kwanza kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 na tayari amewasili nchini kuanza maandalizi (Pre Season). SOMA ZAIDI... 

Related Posts

There is no other posts in this category.

Post a Comment

Join Us Free, in Telegram.

Subscribe Our Newsletter